Virunga Energies

Virunga Energies SAU iliundwa mwaka wa 2013. Kampuni inamilikiwa na Virunga Foundation inayoongoza mbuga la wanyama la Virunga kwa sasa. Kazi kuu za Virunga Energies niku jenga viwanda vya umeme, kugawa moto, na kuuza wa umeme safi kwa ajili ya kukuza maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa watu wanao ishi kando ya mbuga la wanyama la Virunga.

Virunga Energies ni kampuni yaki biashara inayo kuwa na malengo ya kijamii. Mapato yake hutumika kulipa gharama zake za uendeshaji na matengenezo ya vifaa vyake, kutekeleza misheni yake ya utumishi wa umma (haswa taa za barabarani) na kuongeza uwezo wake wa uzalishaji pia na mtandao wake wa umeme. Kiasi kilichowekezwa tangu 2013 kinazidi $120m. Kama mwanzilishi wa modeli mpya ya ugawaji wa umeme, kampuni Virunga Energies ili nufaika na mkopo wa kwanza kutoka benki ya uwekezaji mashariki mwa DRC.

Kwa sasa, kampuni ipo katika maeneo ya Beni, Lubero, Rutshuru, Nyiragongo na katika mji mkuu wa Goma.

Tangu kuanzishwa, Virunga Energies imenufaika na usaidizi wa kifedha kutoka Umoja wa Ulaya, The Schmidt Family Foundation, The World We Want na British international Investistment.

Virunga Energies ya gawa umeme bora na ya bei rahisi kutoka viwanda vyake vya Matebe (megawati 13.1), Mutwanga (megawati 1.4) na Luviro (megawati 14.6) kwa waakaji wa maeneo maskini ya jimbo Kivu Kaskazini ili kuboresha maisha ya wakaaji wa eneo hizo. Kati ya wateja wa umeme wa Virunga Energies kuna ma nyumba pia viwanda vidogo na vikubwa.

Katika mpango wake waki jamii, Virunga Energies ya weka taa za barabarani kwa bure na ku saidiya ku boresha usalama. shirika za serikali na za kijamii, ma hospitali na shule za bahatika pia kupata umeme kwa bure.

  • 2009
  • 2013
    Septemba
  • 2015
    Desemba
  • 2016
    Februari
  • 2019
    Machi
  • 2019
    Aprili
  • 2020
    Mei
  • 2020
    Septemba
  • 2021
    Trimester ya tatu
  • 2021
    Trimester ya ine
  • 2022
    August
  • 2022
    September
  • 2023
    July
  • 2023
    Septemba
  • Photo credit: Bobby Neptune
    2009
    Mradi wa majaribio wa kiwanda ndogo cha umeme cha Mutwanga chini ya uzamini wa Muungano wa ulaya
  • Photo credit: Hugh Cunningham
    2013
    Septemba
    Virunga Energies Kuanzishwa kiserkali
  • Photo credit: Bobby Neptune
    2015
    Desemba
    Kiwanda cha Matebe (megawati 13.2) kuanza kazi
  • Photo credit: Brent Stirton
    2016
    Februari
    ugawanyaji wa umeme kuanzishwa pa Rutshuru
  • Photo credit: Bobby Neptune
    2019
    Machi
    Kiwanda cha pili cha Mutwanga (megawati 1.3) kuanzishwa
  • Photo credit: Virunga Energies
    2019
    Aprili
    mwanzo wa ujenzi wa mtandao wa umeme pa goma
  • Photo credit: Virunga Energies
    2020
    Mei
    Nyumba za kwanza kupewa umeme ndani ya eneo la Goma
  • Photo credit: Virunga Energies
    2020
    Septemba
    kiwanda cha moto cha Luviro (megawati 14.6) kuanzishwa kazi
  • Photo credit: Bobby Neptune
    2021
    Trimester ya tatu
    zaidi ya wateja 20 000 wamepewa umeme jimboni kivu ya kaskazini
  • Photo credit: Virunga Energies
    2021
    Trimester ya ine
    wateja wa kwanza wa pewa umeme pa Lubero; Kuanzishwa kwa kazi za ujenzi wa kiwanda cha Rwanguba
  • Photo credit: Virunga Energies
    2022
    August
    Nguzo (poteau)za voltage za chini na za kati kwenye tovuti ya CCLK
  • Photo credit: Virunga Energies
    2022
    September
    Mwanzo wa kazi ya shimo katika maeneo ya mradi
  • Photo credit: Virunga Energies
    2023
    July
    Kukamilika kwa kazi ya ujenzi wa awamu ya nne ya umeme katika mji wa Goma na kukabidhiwa mradi huo na Liwali Makamu Mkuu wa Mkoa wa Kivu Kaskazini
  • Photo credit: Virunga Energies
    2023
    Septemba
    Kazi zinakuwa zikiendelea vema pa Rwanguba ijapokuwa shida ndani ya eneo inayo tokana na waasi wa M23